Sisi ni wataalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa, ghorofa, na ukarabati kwa viwango vya kimataifa.
UCHIMBAJI WA MASHIMO YA KISASA YA CHOO YASIYOJAA! 🚽
✅ Shimo 1 la tofali (DSM): Tsh 950,000
✅ Mashimo 2 ya tofali na mawe (DSM): Tsh 1,350,000
✅ Shimo 1 la tofali (Mikoani): Tsh 1,200,000
✅ Mashimo 2 ya tofali na mawe (Mikoani): Tsh 1,500,000
📦 Huduma zote ni Full Package – hatuchukui chochote kutoka kwa mteja!
🚛 TUNAFIKA HADI MIKOANI!
📲 0710831720 / 0747139791
MASTER_AR_UJENZI_TZ – Utaalamu, Ubora na Uaminifu!
Kampuni yetu ilianza mwaka 2010 ikiwa na fundi mmoja na msaidizi. Leo hii, tumekua na kuwa kampuni inayoongoza nchini kwa kutumia teknolojia ya kisasa na vifaa bora. pia kampuni yetu ya
Tunaamini katika asilimia 60 ya ubora wa kijani (mazingira), uaminifu na kasi ya ajabu katika kukamilisha miradi yetu.
Tunajenga nyumba za kuishi za kila aina kuanzia msingi hadi kukabidhi funguo mkononi mwako.
Wataalamu wetu wana uzoefu wa kujenga majengo marefu kwa kuzingatia usalama wa hali ya juu.
Tunabadilisha nyumba yako ya zamani kuwa mpya kwa gharama nafuu na muonekano wa kisasa.
Tunapaka rangi za kisasa na kuweka 'gypsum' zenye nakshi za kuvutia macho.
Tunachora ramani za 3D zinazokupa picha kamili ya nyumba yako kabla hata ujenzi kuanza.
Unataka kuanza ujenzi? Tunakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu vifaa na makadirio ya gharama. Pia upimaji wa ardhi na misingi.